-
Trump ampa Mfalme wa Morocco tuzo kwa kuanzisha uhusiano na Israel
Jan 17, 2021 07:52Rais Donald Trump wa Marekani amemtunuku tuzo ya kifahari Mfalme Mohammed wa Sita wa Morocco, kutokana na hatua yake ya kukubali kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Morocco yasimamisha uhusiano wake na Wazayuni
Jan 02, 2021 07:26Duru kadhaa za kidiplomasia zimetangaza kuwa serikali ya Morocco imesimamisha kutangaza kiukamilifu uhusiano wake na utawala wa Kizayuni hadi itakapojua msimamo wa rais ajaye wa Marekani kuhusu Sahara Magharibi.
-
Wamorocco wafungua shauri mahakamani la kufutwa mapatano ya kuanzisha uhusiano na Israel
Dec 30, 2020 08:11Mratibu wa Kongresi ya Kitaifa ya Kiislamu ya Morocco amesema wamefungua shauri mahakamani la kuangaliwa upya uamuzi uliochukuliwa na serikali ya Rabat wa kufikia mapatano na Israel ya kuanzisha uhusiano wa kawaida wa kisiasa, kidiplomasia, kiuchumi na katika sekta ya utalii.
-
Marekani kufungua ubalozi mdogo Sahara Magharibi, Morocco
Dec 25, 2020 13:11Katika kile kinachoonekana ni muendelezo wa ukiukaji wa sheria za kimataifa na maazimio ya Umoja wa Mataifa, Marekani imetangaza kuwa imeanzisha mchakato wa kufungua ubalozi mdogo katika eneo la Sahara Magharibi, huko kusini mwa Morocco.
-
Mfalme wa Morocco aunga mkono kuanzishwa mazungumzo ya mapatano na utawala wa Kizayuni
Dec 24, 2020 12:31Waziri wa Mambo ya Nje wa Morocco amefichua kuwa, mazungumzo ya kuanzisha uhusiano kati ya nchi hiyo na utawala wa Kizayuni yameanza kwa uungaji mkono wa Mfalme wa nchi hiyo.
-
Umoja wa Mataifa wasisitiza msimamo wake kuhusu eneo la Sahara Magharibi
Dec 14, 2020 02:57Katika hali ambayo katika miezi ya hivi karibuni kumeshuhudiwa ongezeko la taharuki baina ya serikali ya Morocco na Harakati ya Polisaria kuhusiana na eneo la Sahara Magharibi, Rais Donald Trump wa Marekani alitangaza Alhamisi kuwa Morocco imeafiki kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel na kuongeza kuwa Washington inatambua rasmi eneo la Sahara Magharibi kama milki ya Morocco.
-
Vyama vya Kiislamu Morocco vyapinga uhusiano wa nchi hiyo na Israel
Dec 13, 2020 10:52Vyama vya Kiislamu nchini Morocco vimepinga vikali uamuzi wa ufalme wa nchi hiyo wa kuafikia kuanzisha uhusiano na utawala haramu wa Israel kufuatia mapatano yaliyosimamiwa na Marekani.
-
UN yailaumu Marekani kwa msimamo wake kuhusu Sahara Magharibi
Dec 13, 2020 07:36Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameilaumu Marekani kwa kutangaza kulitambua rasmi eneo la Sahara Magharibi kuwa ni milki ya Morocco.
-
Muamala wa Trump kwa ajili ya kuanzishwa uhusiano wa kawaida kati ya Morocco na utawala wa Kizayuni
Dec 12, 2020 11:36Rais Donald Trump wa Marekani juzi Alhamisi alituma ujumbe katika ukurasa wake wa twitter na kueleza kuwa Morocco na utawala wa Kizayuni wa Israel zimefikia mapatano ya kuanzisha uhusiano kamili wa kidiplomasia.
-
Amir-Abdollahian: Kama watawala wa Kiarabu wameghafilika na Uislamu basi wafikirie japo maana ya ‘ghera ya Kiarabu’
Dec 12, 2020 11:23Msaidizi maalumu wa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya kimataifa amesema kuwa, hatua ya Morocco ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel ni usaliti na pigo la jambia dhidi ya mwili wa muqawama wa Palestina.