Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Habari
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Portuguese Português
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Iran
  • Mashariki ya Kati
  • Afrika
  • Picha
  • Iran na Afrika
  • Products

Msumbiji

  • Afrika Kusini yaongeza muda wa kuhudumu wanajeshi wake huko Msumbiji

    Afrika Kusini yaongeza muda wa kuhudumu wanajeshi wake huko Msumbiji

    Apr 14, 2022 07:13

    Mkuu wa jeshi la Afrika Kusini ametahadharisha kuwa magaidi waliopo Msumbiji lazima washughulikiwe kabla ya tatizo hilo kuenea mbali zaidi.

  • Raisi atoa mwito wa kustawishwa uhusiano wa Iran na Msumbiji

    Raisi atoa mwito wa kustawishwa uhusiano wa Iran na Msumbiji

    Feb 23, 2022 02:51

    Rais Ebrahim Raisi wa Iran ametoa mwito wa kuboreshwa uhusiano wa pande mbili baina ya Jamhuri ya Kiislamu na Msumbiji katika nyuga tofauti.

  • Watu 19 waaga dunia kutokana na athari za kimbunga 'Ana' Malawi

    Watu 19 waaga dunia kutokana na athari za kimbunga 'Ana' Malawi

    Jan 27, 2022 07:49

    Idara ya Kitaifa ya Kupambana na Majanga ya Malawi imesema watu 19 wamefariki dunia kutokana na kimbunga kikali cha kitropiki kilichopewa jina la Ana katika maeneo ya kusini mwa nchi hiyo.

  • Kimbunga 'Ana' chaua watu 34 Madagascar, 2 Msumbiji

    Kimbunga 'Ana' chaua watu 34 Madagascar, 2 Msumbiji

    Jan 26, 2022 12:13

    Makumi ya watu wameaga dunia kutokana na kimbunga kikali kilichoipiga Madagascar kwa siku kadhaa sasa.

  • Jeshi la Msumbiji lamuua kiongozi wa waasi wa chama kikuu cha upinzani

    Jeshi la Msumbiji lamuua kiongozi wa waasi wa chama kikuu cha upinzani

    Oct 12, 2021 08:04

    Kinara wa mrengo wa waasi wa Renamo, iliyokuwa harakati ya waasi na ambayo sasa ni chama kikuu cha siasa cha upinzani nchini Msumbiji ameuawa na wanajeshi wa nchi hiyo ya kusini mwa Afrika.

  • Askari watoto wakombolewa na wanajeshi wa Msumbiji

    Askari watoto wakombolewa na wanajeshi wa Msumbiji

    Oct 06, 2021 12:45

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umesema vikosi vya serikali ya Msumbiji vimefanikiwa kuwakomboa watoto waliosajiliwa kwa nguvu na kutumiwa vitani na genge la kigaidi la al-Shabaab kaskazini mwa nchi hiyo ya kusini mwa Afrika.

  • Rais wa Msumbiji ataka magaidi wajisalimishe baada ya kinara wao kuuawa

    Rais wa Msumbiji ataka magaidi wajisalimishe baada ya kinara wao kuuawa

    Oct 05, 2021 08:10

    Rais Filipe Nyusi wa Msumbiji ametoa mwito kwa magenge ya kigaidi kusalimu amri baada ya kinara wao kuuawa hivi karibuni kaskazini mwa nchi.

  • Magaidi 19, akiwemo kamanda wa ngazi ya juu, wauawa Msumbiji

    Magaidi 19, akiwemo kamanda wa ngazi ya juu, wauawa Msumbiji

    Oct 03, 2021 12:45

    Magaidi 19, akiwemo kamanda wa ngazi ya juu wa genge moja la kigaidi, wameuawa katika operesheni ya kiusalama iliyofanywa na wananjeshi wa kieneo huko kaskazini mwa Msumbiji.

  • Umoja wa Ulaya kutoa mafunzo kwa jeshi Msumbiji ili kupambana na Daesh

    Umoja wa Ulaya kutoa mafunzo kwa jeshi Msumbiji ili kupambana na Daesh

    Jul 13, 2021 10:06

    Umoja wa Ulaya umeanzisha rasmi kampeni ya kijeshi ya kutoa mafunzo kwa vikosi vya ulinzi vya Msumbiji vinavyopambana na wanamgambo wenye mfungamano na kundi la kigaidi la Daesh huko katika mkoa wa kaskazini wa Cabo Delgado.

  • Ijumaa tarehe 25 Jun 2021

    Ijumaa tarehe 25 Jun 2021

    Jun 25, 2021 03:27

    Leo ni Ijumaa tarehe 14 Dhulqaada 1442 Hijria inayosadifiana na tarehe 25 Juni mwaka 2021.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 20167 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Iran
    Mashariki ya Kati
    Afrika
    Picha
    Iran na Afrika
    Products
Radio
    Vipindi
    Hifadhi
    Darsa ya Qur'ani
    Frikwensi
    Tovuti Kongwe
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS