Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Habari
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Portuguese Português
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Iran
  • Mashariki ya Kati
  • Afrika
  • Picha
  • Iran na Afrika
  • Products

polisi

  • Utafiti: Polisi ya Marekani imeua raia 700 ndani ya miezi 7

    Utafiti: Polisi ya Marekani imeua raia 700 ndani ya miezi 7

    Aug 05, 2022 01:14

    Mamia ya raia wameuawa na askari polisi wa Marekani tokea mwanzoni mwaka huu 2022 hadi sasa, huku duru mbalimbali zikiendelea kulaani ukatili wa polisi ya nchi hiyo dhidi ya raia hususan Wamarekani wenye asili ya Afrika.

  • Polisi ya Taliban Afghanistan yaanza kuajiri askari wanawake

    Polisi ya Taliban Afghanistan yaanza kuajiri askari wanawake

    Jun 09, 2022 12:20

    Maafisa wa Idara ya uajiri katika jeshi la polisi la mkoa wa Balakh nchini Afghanistan wamesema jeshi hilo limeanza kuandikisha wanawake watakaoajiriwa kuhudumu kama askari.

  • Mkuu wa Jeshi la Polisi ya Tanzania: Polisi itakagua yanayofundishwa nyumba za ibada

    Mkuu wa Jeshi la Polisi ya Tanzania: Polisi itakagua yanayofundishwa nyumba za ibada

    Sep 11, 2021 13:30

    Jeshi la Polisi Tanzania limesema kuwa litakuwa likipita katika nyumba za ibada kukagua mafunzo wanayofundishwa watoto katika madrasa na shule za Jumapili (Sunday Schools) kufahamu aina ya mafundisho yanayotolewa.

  • Wabunge Ufaransa wakosoa kuteuliwa afisa wa UAE kuongoza Interpol

    Wabunge Ufaransa wakosoa kuteuliwa afisa wa UAE kuongoza Interpol

    Jun 19, 2021 05:10

    Makumi ya Wabunge wa Ufaransa wamelalamikia hatua ya kuteuliwa afisa wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kuwa Rais wa Polisi ya Kimataifa (Interpol).

  • Polisi ya Nigeria yafyatua gesi ya kutoa machozi katika maadhimisho ya Siku ya Demokrasia

    Polisi ya Nigeria yafyatua gesi ya kutoa machozi katika maadhimisho ya Siku ya Demokrasia

    Jun 13, 2021 02:50

    Polisi wa Nigeria wamefyatua gesi ya kutoa machozi kutawanya waandamanaji wanaopinga serikali huko Lagos na katika mji mkuu, Abuja, na ripoti zinasema kuwa baadhi ya wanaadamanaji hao wakamatwa na wengine kujeruhiwa.

  • Amnesty yasema Nigeria inajaribu kuficha mauaji ya raia mjini Lagos

    Amnesty yasema Nigeria inajaribu kuficha mauaji ya raia mjini Lagos

    Jan 29, 2021 07:46

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeituhumu serikali ya Nigeria kuwa inafanya jitihada za kuficha mauaji ya kutisha ya wananchi waliokuwa wakiandamana katika mji wa Lagos mwezi Oktoba mwaka uliopita.

  • Mahakama ya Uganda yaiamuru polisi imuondolee Bobi Wine kizuizi cha nyumbani

    Mahakama ya Uganda yaiamuru polisi imuondolee Bobi Wine kizuizi cha nyumbani

    Jan 25, 2021 12:42

    Mahakama nchini Uganda imeamuru vikosi vya usalama vya nchi hiyo viondoe mzingiro vilioweka kwenye nyumba ya kiongozi wa upinzani Robert Kyagulanyi, maarufu kama Bobi Wine, ambaye yuko kwenye kizuizi cha nyumbani tangu ulipofanyika uchaguzi wa rais januari 14.

  • Serikali ya Ufaransa yafutilia mbali muswada wa marufuku ya kupigwa picha polisi

    Serikali ya Ufaransa yafutilia mbali muswada wa marufuku ya kupigwa picha polisi

    Dec 03, 2020 02:37

    Serikali ya Ufaransa imefutilia mbali muswada iliokuwa umeuwasilisha bungeni kwa ajili ya kupiga marufuku upigwaji picha maafisa wa polisi wanapokuwa wanatekeleza majukumu yao, na hilo limetokana na ukosolewaji mkali uliofanywa dhidi ya utendaji wa jeshi la polisi.

  • Maandamano makubwa ya kupinga vitendo vya polisi vya utumiaji mabavu na ubaguzi nchini Ufaransa

    Maandamano makubwa ya kupinga vitendo vya polisi vya utumiaji mabavu na ubaguzi nchini Ufaransa

    Dec 01, 2020 02:35

    Kufuatia kuongezeka migogoro ya kijamii na kisiasa nchini Ufaransa katika miezi ya hivi karibuni, kumeshuhudiwa ongezeko la vitendo vya polisi vya utumiiaji mabavu na ubaguzi wa rangi. Maovu hayo ya polisi ya Ufaransa yamepelekea kuibuka maandamano makubwa ya wananchi wanaolalamikia hali hiyo.

  • Mkumi ya maelfu ya askari wa Iraq kushiriki katika ulinzi wa maombolezo ya Ashura

    Mkumi ya maelfu ya askari wa Iraq kushiriki katika ulinzi wa maombolezo ya Ashura

    Aug 25, 2020 11:49

    Mkuu wa Jeshi la Polisi la Karbala Iraq amesema, askari 30 elfu wamewekwa tayari kwa ajili ya kulinda usalama wa wafanya ziara na waombolezaji wa Ashura ya Imam Husain AS.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 20167 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Iran
    Mashariki ya Kati
    Afrika
    Picha
    Iran na Afrika
    Products
Radio
    Vipindi
    Hifadhi
    Darsa ya Qur'ani
    Frikwensi
    Tovuti Kongwe
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS