Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Habari
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Portuguese Português
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Iran
  • Mashariki ya Kati
  • Afrika
  • Picha
  • Products

Somalia

  • Wanasiasa wa upinzani Somalia waakhirisha maandamano dhidi ya serikali

    Feb 26, 2021 12:50

    Wanasiasa wa upinzani nchini Somalia wameakhirisha maandamano yao waliyokuwa wamepanga kufanya leo Ijumaa baada ya Waziri Mkuu kuingilia kati.

  • Magaidi 15 wa al-Shabaab wauawa katika operesheni ya jeshi la Somalia

    Feb 26, 2021 03:29

    Wanamgambo 15 wa kundi la kigaidi la al-Shabaab wameangamizwa katika operesheni ya jeshi la Somalia kusini mwa nchi.

  • Serikali ya Somalia yapiga marufuku maandamano ya wapinzani

    Feb 24, 2021 08:17

    Serikali ya Somalia imetangaza kupiga marufuku maandamano ya wapinzani katika mji mkuu Mogadishu kutokana na ongezeko la maambukizi ya ya corona na tishio la usalama.

  • Magaidi 52 wa Ash-Shabaab waangamizwa kusini mwa Somalia

    Feb 22, 2021 02:56

    Mkuu wa vikosi vya ulinzi vya Somalia ametangaza kuwa, wanamgambo 52 wa kundi la kigaidi la Ash-Shabaab wakiwemo vinara wawili wa kundi hilo wameuawa kusini mwa nchi hiyo.

  • Serikali ya Somalia yaikosoa Imarati kwa kuwaunga mkono wapinzani wa Kisomali

    Feb 21, 2021 15:16

    Serikali ya Somalia imeikosoa Imarati kutokana na kuwaunga mkono wapinzani wa serikali ya Mogadishu.

  • Milio mikubwa ya risasi na miripuko yatokea mji mkuu wa Somalia katika maandamano ya wapinzani

    Feb 19, 2021 14:06

    Milio mikubwa ya risasi na miripuko imezuka katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu wakati vikosi vya usalama vilipopambana na waandamanaji wenye hasira kutokana na kucheleweshwa uchaguzi. Hayo ni kwa mujibu wa mashuhuda, serikali na viongozi wa upinzani.

  • Mlipuko mwingine wautikisa mji mkuu wa Somalia, Mogadishu; watu kadhaa wauawa

    Feb 13, 2021 12:01

    Kwa akali watu watatu wameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa baada ya kutokea mlipuko mkubwa katika mji mkuu wa Somalia Mogadishu.

  • Rais wa Somalia aitisha mkutano mwingine kuondoa mkwamo wa kisiasa

    Feb 10, 2021 13:42

    Rais Mohamed Abdullahi Farmajo wa Somalia ametoa mwito wa kufanyika kwa raundi mpya ya mazungumzo ya majadiliano tarehe 15 mwezi huu ili kusaidia kuondoa mkwamo wa mchakato wa uchaguzi.

  • Maajenti 12 wa usalama wauawa katika shambulio la bomu Somalia

    Feb 08, 2021 12:11

    Mkuu wa Idara ya Intelijensia ya Somalia pamoja na maajenti 11 wa kitengo hicho cha usalama wameuawa katika mripuko wa bomu la kutegwa kando ya barabara katika jimbo la Galmudug, katikati ya nchi.

  • Rais wa Somalia: Nchi za kigeni zinavuruga mchakato wa uchaguzi nchini

    Feb 07, 2021 07:31

    Rais Muhammed Abdullahi Farmajo wa Somalia amesema uingiliaji wa madola ajinabi katika mambo ya ndani ya nchi hiyo ndiyo sababu kuu ya kugonga mwamba mazungumzo ya kujaribu kuupatia ufumbuzi mkwamo wa uchaguzi katika nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 20167 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Iran
    Mashariki ya Kati
    Afrika
    Picha
    Products
Radio
    Vipindi
    Hifadhi
    Darsa ya Qur'ani
    Frikwensi
    Tovuti Kongwe
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS