-
Ijumaa tarehe Mosi Julai 2022
Jul 01, 2022 01:01Leo ni Ijumaa tarehe Mosi Dhulqaada 1443 Hijria sawa na tarehe Mosi Julai 2022.
-
Rais wa Somalia apatwa na COVID-19 baada ya kuitembelea Imarati
Jun 25, 2022 11:51Rais wa Somalia amesema amejiweka karantini baada ya kugundua kuwa ameambukizwa ugonjwa wa COVID-19.
-
Watu 200,000 wapo katika hatari ya kufa njaa nchini Somalia
Jun 07, 2022 08:02Taasisi za Umoja wa Mataifa zimesema karibu robo milioni ya wananchi wa Somalia wanakabiliwa na hatari ya kifo kutokana na baa la njaa lililosababishwa na ukame na mfumko wa bei za bidhaa kote duniani.
-
Watoto laki 3 kufariki Somalia iwapo misaada haitawafikia haraka
Jun 01, 2022 10:21Afisa mmoja wa Umoja wa Mataifa ameonya kuwa watoto zaidi ya 370,000 watapoteza maisha ifikapo mwisho wa mwezi huu wa Juni iwapo hatua za haraka hazitachukuliwa kuwafikishia misaada ya dharura.
-
UN yataka Kenya, Somalia na Ethiopia zisaidiwe kukabili ukame
May 21, 2022 12:30Umoja wa Mataifa umetoa mwito wa dharura wa kupatikana fedha ili kusaidia mataifa ya Pembe ya Afrika ambayo kwa miezi yameshuhudia hali ya ukame inayotishia kuwa mbaya zaidi.
-
Marekani kutuma wanajeshi Somalia kwa kisingizio cha kupambana na kundi la kigaidi la al Shabab
May 17, 2022 07:33Katika kuendeleza hatua zake za kijeshi na sera za uingliaji kati , Rais Joe Biden wa Marekani amesema kuwa washington ina mpango wa kutuma tena wanajeshi wa nchi hiyo huko Somalia kwa lengo la kile alichokitaka kuwa kupambana na kundi la kigaidi la al Shabab lenye mfungamano na mtandao wa al Qaida.
-
Wagombea 39 kuwania kiti cha urais nchini Somalia
May 12, 2022 02:21Wagombea wapatao 39 wamejitokeza kuwania kiti cha urais nchini Somalia uchaguzi ambao umepangwa kufanyika mwishoni mwa juma hili.
-
Shambulio la kundi la kigaidi la as-Shabaab dhidi ya askari wa kulinda amani nchini Somalia
May 05, 2022 05:30Jeshi la Burundi limetangaza kuwa askari wake 10 wa kulinda amani wanaohudumu nchini Somalia chini ya mwavuli wa Umoja wa Afrika wameuawa katika shambulio lililotekelezwa na kundi la kigaidi la as-Shabaab katika kambi ya askari wa umoja huo.
-
Wakimbizi wa Kisomali wakabiliwa na hali ngumu katika mfungo wa Ramadhani
Apr 18, 2022 13:05Zaidi ya wakimbizi milioni moja wa Kisomali hususan wale wanaoishi katika kambi za nje ya mji mkuu, Mogadishu, wanakabiliwa na hali ngumu katika mfungo huu wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.
-
AU kumtimua mkuu wa kikosi chake cha mpito nchini Somalia
Apr 17, 2022 08:07Mkuu wa kikosi kipya cha kijeshi cha mpito (ATMIS) kilichochukuwa nafasi ya Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Afrika nchini Somalia (AMISOM) yupo katika mashinikizo ya kutakiwa ajiuzulu baada ya kushtadi msuguano wa kidiplomasia kati yake na serikali ya Mogadishu.