Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Habari
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Portuguese Português
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Iran
  • Mashariki ya Kati
  • Afrika
  • Picha
  • Iran na Afrika
  • Products

Somalia

  • Ijumaa tarehe Mosi Julai 2022

    Ijumaa tarehe Mosi Julai 2022

    Jul 01, 2022 01:01

    Leo ni Ijumaa tarehe Mosi Dhulqaada 1443 Hijria sawa na tarehe Mosi Julai 2022.

  • Rais wa Somalia apatwa na COVID-19 baada ya kuitembelea Imarati

    Rais wa Somalia apatwa na COVID-19 baada ya kuitembelea Imarati

    Jun 25, 2022 11:51

    Rais wa Somalia amesema amejiweka karantini baada ya kugundua kuwa ameambukizwa ugonjwa wa COVID-19.

  • Watu 200,000 wapo katika hatari ya kufa njaa nchini Somalia

    Watu 200,000 wapo katika hatari ya kufa njaa nchini Somalia

    Jun 07, 2022 08:02

    Taasisi za Umoja wa Mataifa zimesema karibu robo milioni ya wananchi wa Somalia wanakabiliwa na hatari ya kifo kutokana na baa la njaa lililosababishwa na ukame na mfumko wa bei za bidhaa kote duniani.

  • Watoto laki 3 kufariki Somalia iwapo misaada haitawafikia haraka

    Watoto laki 3 kufariki Somalia iwapo misaada haitawafikia haraka

    Jun 01, 2022 10:21

    Afisa mmoja wa Umoja wa Mataifa ameonya kuwa watoto zaidi ya 370,000 watapoteza maisha ifikapo mwisho wa mwezi huu wa Juni iwapo hatua za haraka hazitachukuliwa kuwafikishia misaada ya dharura.

  • UN yataka Kenya, Somalia na Ethiopia zisaidiwe kukabili ukame

    UN yataka Kenya, Somalia na Ethiopia zisaidiwe kukabili ukame

    May 21, 2022 12:30

    Umoja wa Mataifa umetoa mwito wa dharura wa kupatikana fedha ili kusaidia mataifa ya Pembe ya Afrika ambayo kwa miezi yameshuhudia hali ya ukame inayotishia kuwa mbaya zaidi.

  • Marekani kutuma wanajeshi Somalia kwa kisingizio cha kupambana na kundi la kigaidi la al Shabab

    Marekani kutuma wanajeshi Somalia kwa kisingizio cha kupambana na kundi la kigaidi la al Shabab

    May 17, 2022 07:33

    Katika kuendeleza hatua zake za kijeshi na sera za uingliaji kati , Rais Joe Biden wa Marekani amesema kuwa washington ina mpango wa kutuma tena wanajeshi wa nchi hiyo huko Somalia kwa lengo la kile alichokitaka kuwa kupambana na kundi la kigaidi la al Shabab lenye mfungamano na mtandao wa al Qaida.

  • Wagombea 39 kuwania kiti cha urais nchini Somalia

    Wagombea 39 kuwania kiti cha urais nchini Somalia

    May 12, 2022 02:21

    Wagombea wapatao 39 wamejitokeza kuwania kiti cha urais nchini Somalia uchaguzi ambao umepangwa kufanyika mwishoni mwa juma hili.

  • Shambulio la kundi la kigaidi la as-Shabaab dhidi ya askari wa kulinda amani nchini Somalia

    Shambulio la kundi la kigaidi la as-Shabaab dhidi ya askari wa kulinda amani nchini Somalia

    May 05, 2022 05:30

    Jeshi la Burundi limetangaza kuwa askari wake 10 wa kulinda amani wanaohudumu nchini Somalia chini ya mwavuli wa Umoja wa Afrika wameuawa katika shambulio lililotekelezwa na kundi la kigaidi la as-Shabaab katika kambi ya askari wa umoja huo.

  • Wakimbizi wa Kisomali wakabiliwa na hali ngumu katika mfungo wa Ramadhani

    Wakimbizi wa Kisomali wakabiliwa na hali ngumu katika mfungo wa Ramadhani

    Apr 18, 2022 13:05

    Zaidi ya wakimbizi milioni moja wa Kisomali hususan wale wanaoishi katika kambi za nje ya mji mkuu, Mogadishu, wanakabiliwa na hali ngumu katika mfungo huu wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.

  • AU kumtimua mkuu wa kikosi chake cha mpito nchini Somalia

    AU kumtimua mkuu wa kikosi chake cha mpito nchini Somalia

    Apr 17, 2022 08:07

    Mkuu wa kikosi kipya cha kijeshi cha mpito (ATMIS) kilichochukuwa nafasi ya Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Afrika nchini Somalia (AMISOM) yupo katika mashinikizo ya kutakiwa ajiuzulu baada ya kushtadi msuguano wa kidiplomasia kati yake na serikali ya Mogadishu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 20167 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Iran
    Mashariki ya Kati
    Afrika
    Picha
    Iran na Afrika
    Products
Radio
    Vipindi
    Hifadhi
    Darsa ya Qur'ani
    Frikwensi
    Tovuti Kongwe
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS