Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Habari
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Portuguese Português
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Iran
  • Mashariki ya Kati
  • Afrika
  • Picha
  • Iran na Afrika
  • Products

Waziri Mkuu

  • Kutokea mapinduzi baridi nchini Tunisia

    Kutokea mapinduzi baridi nchini Tunisia

    Jul 28, 2021 01:37

    Katika hatua inayotathminiwa na wajuzi wa mambo kama mapinduzi baridi, Rais Kais Saied wa Tunisia amechukua hatua kadhaa kama kumfuta kazi Waziri Mkuu wa nchi hiyo Hichem Mechichi, kuvunja baraza la mawaziri, kusitisha shughuli za Bunge na kinga ya kisiasa ya Wabunge na kisha kudhibiti madaraka yote ya nchi.

  • Serikali ya Iraq yawatia mbaroni magaidi waliohusika na shambulio la umwagaji damu katika kiunga cha Sadr

    Serikali ya Iraq yawatia mbaroni magaidi waliohusika na shambulio la umwagaji damu katika kiunga cha Sadr

    Jul 25, 2021 02:58

    Waziri Mkuu wa Iraq Mustafa al Kadhimi amesema, vyombo vya usalama vimewagundua na kuwatia mbaroni watu waliohusika na shambulio la kigaidi la mripuko wa bomu uliotokea kwenye kitongoji cha Sadr katika mji mkuu wa nchi hiyo, Baghdad.

  • Mfalme wa Jordan aonana na waziri mkuu wa utawala wa Kizayuni

    Mfalme wa Jordan aonana na waziri mkuu wa utawala wa Kizayuni

    Jul 09, 2021 12:38

    Vyombo vya habari vya utawala wa Kizayuni wa Israel vimetangaza kuwa, mfalme wa Jordan ameonana na waziri mkuu wa Israel katika mji mkuu Amman.

  • Ehud Olmert: Kuna uwezekano wa kutokea Intifadha mpya ya Wapalestina

    Ehud Olmert: Kuna uwezekano wa kutokea Intifadha mpya ya Wapalestina

    May 01, 2021 08:00

    Ehud Olmert, Waziri Mkuu wa zamani wa utawala haramu wa Israel ametahadharisha juu ya uwezekano wa kutokea Intifadha mpya ya Wapalestina.

  • Waziri Mkuu wa Iraq asisitiza kufanyika uchaguzi kama ilivyopangwa

    Waziri Mkuu wa Iraq asisitiza kufanyika uchaguzi kama ilivyopangwa

    Mar 29, 2021 04:20

    Waziri Mkuu wa Iraq amesisitiza kuwa uchaguzi wa bunge nchini humo utafanyika kama ilivyopangwa yaani tarehe 10 mwezi Oktoba mwaka huu.

  • Waziri Mkuu wa Iraq atoa hotuba kwa mnasaba wa kumbukumbu ya mashambulizi ya Halabcha

    Waziri Mkuu wa Iraq atoa hotuba kwa mnasaba wa kumbukumbu ya mashambulizi ya Halabcha

    Mar 16, 2021 12:27

    Waziri Mkuu wa Iraq amesema kuwa kuadhimisha kumbukumbu ya mashambulizi ya kemikali yaliyotekelezwa katika mji wa Halabcha katika eneo la Kurdistan huko Iraq kunakumbushia kuuliwa maelfu ya raia na watu wasio na hatia wa eneo hilo.

  • Waziri Mkuu wa Ivory Coast Hamed Bakayoko afariki kwa saratini akiwa na umri wa miaka 56

    Waziri Mkuu wa Ivory Coast Hamed Bakayoko afariki kwa saratini akiwa na umri wa miaka 56

    Mar 11, 2021 07:18

    Waziri Mkuu wa Ivory Coast Hamed Bakayoko amefariki dunia kwa maradhi ya saratani katika hospitali moja mjini Freiburg nchini Ujerumani alikokuwa akipatiwa matibabu.

  • Al Kadhimi asisitiza kulipiza kisasi kwa wahusika wa milipuko ya Baghdad

    Al Kadhimi asisitiza kulipiza kisasi kwa wahusika wa milipuko ya Baghdad

    Jan 31, 2021 07:34

    Waziri Mkuu wa Iraq amesisitiza kuwa, wale wote walioihusika katika kuwaua raia wasio na hatia katika milipuko ya karibuni katika maidani ya al Tayaran huko Baghdad mji mkuu wa nchi hiyo watalipizwa kisasi.

  • Yemen: Hakuna matumaini ya mabadiliko ya kimsingi katika siasa za Marekani

    Yemen: Hakuna matumaini ya mabadiliko ya kimsingi katika siasa za Marekani

    Jan 23, 2021 07:52

    Mshauri wa Waziri Mkuu wa Yemen amesema kuwa, rais mpya wa Marekani, Joe Biden si mwokozi wa eneo hili tofauti kabisa na propaganda zinazopigwa. Amesema, hakuna matumaini ya kuweko mabadiliko ya kimsingi katika siasa za Marekani na kamwe Biden hatofanya kinyume na marais waliomtangulia wa nchi hiyo.

  • Waziri Mkuu wa Iraq: Magaidi wa Daesh (ISIS) wasubiri majibu makali ya jinai zao

    Waziri Mkuu wa Iraq: Magaidi wa Daesh (ISIS) wasubiri majibu makali ya jinai zao

    Jan 22, 2021 11:51

    Waziri Mkuu wa Iraq amesema kuwa, magaidi wa Daesh (ISIS) wasubiri majibu makali kutoka kwa wananchi na vikosi vya ulinzi vya nchi hiyo na kusisitiza kwamba serikali yake itahakikisha mashambulizi mengine ya kigaidi hayatokei nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 20167 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Iran
    Mashariki ya Kati
    Afrika
    Picha
    Iran na Afrika
    Products
Radio
    Vipindi
    Hifadhi
    Darsa ya Qur'ani
    Frikwensi
    Tovuti Kongwe
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS